Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, April 17, 2015

FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY


Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' enzi za uhai wake.
Familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' imeweka wazi chanzo cha kifo cha marehemu baada ya kuzagaa habari mitandaoni kuhusu chanzo cha kifo chake.
Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye 


 
kufariki dunia akiwa hospitali.
Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa mdau mkubwa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, hivyo msiba wake umegusa tasnia hiyo.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu Secky mahali pema peponi. AMEN.

No comments:

Post a Comment