Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, April 13, 2015

Islamic State waharibu mji wa Nimrod



Mwanamgambo wa Islamic State akiharibu sanamu
 Wanamgambo wa Islamic State wametoa kanda ya video kupitia kwa mtandao ikiwaonyesha wakiharibu maeneo ya thamani kubwa kwenye mji wa Nimrod nchini Iraq.
 Picha za wanamgambo hao wakitumia misumeno ya 
 
umeme kukata sanamu, zinaonekana kuthibitisha ripoti za mwezi uliopita kutoka kwa maafisa nchini Iraq kuwa wanamgambo hao wameharibu mji wa kitamadanu wa Nimrod.

Wanamgambo hao hutumia tinga tinga na milipuko kuharibu mji huo ambao wakati mmoja ulikuwa ni mji mkuu wa himaya ya Assyrian.

No comments:

Post a Comment