Tuendelee kuangalia maisha ya mastaa wa soka nje ya uwanja. Baada ya kumcheki Adebayor, leo ni zamu ya mtoto wa uswazi Etoo aliyegekuka kuwa wa kishua. Ugonjwa mkubwa wa Etoo ni magari ya kifahari, gereji ya Etoo ina Bugatti, Masserati, Ferari, Rolls Royce na mengine.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Imeahidi Kukabiliana na Hali ya Ugumu wa
Maisha
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali
Mwinyi akijumuika na Familia ya Mzee Daudi Suleiman Ali, alipofika nyumbani
kw...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment