Mtoto wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Andrew Nyere, akiteta jambo na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na kuvaa kofia ya Chama cha ACT-Wazalendo wakati viongozi wa chama hicho walipofanya ziara kijijini Mwitongo Wilayani Butiama. (Picha na Said Powa)
Mashirikiano ya VETA na Wazalishaji ndio daraja la kutanua soko la ajira
kwa vijana-Profesa Mkenda
-
Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda akipata maelezo
kuhusiana ubunifu wa vazi la bibi harusi linalobuniwa na mtanzania kwenye
kon...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment