Mwigizaji Wema Sepetu na Marehemu Kanumba.
Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku
kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki
tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka
kadhaa iliyopita.
Q Chief na Diamond Platnumz.
Mrembo Jokate Mwegelo kwenye udogo wake.
Ni gazeti la Nipashe June 13 1995, hii picha nimeitoa kwenye Instagram page ya Dr. Cheni.
Mtu wako wa nguvu Millard Ayo enzi hizo
No comments:
Post a Comment