Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, July 21, 2015

HII NDIO ITAKUA MECHI YA KWANZA YA RAHEEM STERLING AKIWA NA JEZI YA MANCHESTER CITY

2AB1C41600000578-0-image-a-37_1437393763056

Raheem Sterling baada ya kusajili wa kwa pesa nyingi kiasi cha £49million akitokea Liverpool na kujiunga na matajiri manchester city anategemewa kuanza kucheza kwenye mechi na club hiyo hivi karibuni.Hivi sasa Raheem yupo pamoja na wachezaji wenzake kwenye mazoezi chini ya kocha Manuel Pellegrini na boss huyo amesema mechi ya kwanza ya Sterling intakua ni dhidi ya Roma huko Jumanne hii.Mashabiki wa Manchester city wanategemea kumuona mchezaji huyu akitoa mchango mkubwa kwenye club yao baada ya mambo makubwa aliyokua akifanya ndani ya Liverpool .Raheem amepewa jezi namba 7

2AB1DCD000000578-0-image-m-41_1437393838582



2AB1FFB800000578-0-image-a-42_1437393845770
                                                           NA SHAFFIH DAUDA

No comments:

Post a Comment