Msanii wa bongo fleva Diamond Platnumz
ambaye ameshakamilisha collabo yake na Neyo kutoka Marekani ametajwa
kuwania tuzo za African Youth Choice Za Nigeria kwenye vipengele viwili
ambavyo ni. Msanii wa Mwaka na Msanii bora wa kiume.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Imeahidi Kukabiliana na Hali ya Ugumu wa
Maisha
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali
Mwinyi akijumuika na Familia ya Mzee Daudi Suleiman Ali, alipofika nyumbani
kw...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment