Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, August 10, 2015

MAGUFULI AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMANA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

Dkt  John Pombe Magufuli kwa pamoja akicheza wimbo wa Adinselema uliokuwa ukiimbwa na wanachama hao mara baada ya kumpokea na kuamsha shamra shamra na shangwe za hapa na pale.Pichani kulia ni Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwete akishuhudia.
Mgombea Uraisi wa chama cha Mapinduzi Dkt John Pombe Magufuli akipokelewa kwa shangwe na shamra shamra kutoka kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM waliokuwa wamekusanyika nje ya ofisi za CCM mkoa wa Lindi,alipofika kusaini vitabu,kuwashukuru na kujitamulisha kwao.

Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwete akizungumza jambo na Wanachama wa chama hicho nje ya Ofisi za CCM mkoa wa Lindi


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia baadhi ya wanachama wa CCM na wafuasi wa chama hicho waliofika kumlaki alipowasili kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama hao mapema leo Agosti 8 2015.Dkt Magufuli amewataka wananchama hao kushikamanana kuwa wamoja katika kipindi hiki muhimu cha uchaguzi,ambacho anaamini kitaipatia ushindi chama CCM.
Dkt John Pombe Magufuli akitia sahihi vitabu ndani ya ofisi ya CCM mkoa wa Lindi,pichani kati ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa,Ndugu Ali Mtopa pamoja na
Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwet.
Mke  wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM,Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi,Ndugu Ali Mtopa,alipowasili kumkaribisha Mgombea Mteule wa chama cha Mapinduzi,Dkt  John Magufuli aliyewasili kwenye ofis hizo kwa ajili ya kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM
Mgombea  Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi,Ndugu Ali Mtopa alipowasili  kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM mkoani humo mapema leo Agosti 8 2015
Mgombea  Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha  CCM,Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu,Mama Salma Kikwete.Dkt Magufuli aliwasili kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM mkoani humo mapema leo Agosti 8 2015
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha  CCM,Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na baadhi ya wanachama wa chama hicho waliofika kumlaki alipowasili kwenye ofisi hizo kwa ajili ya kusaini vitabu pamoja na kuwashukuru na kujitambulisha kwa wanachama na wafuasi wa chama cha CCM mkoani humo mapema leo Agosti 8 2015
"Karibu  Bwana Magufuli..karibu sana Lindi" mmoja wa Wanachama akimkaribisha Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli mara baaada ya kuwasili katika ofisi za CCM mkoa wa Lindi  ambapo alisaini vitabu,aliwashukuru wanachama na wafuasi wa chama hicho pamoja na kujitambulisha kwao.
Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na mmoja wa watoto waliofika kumlaki mgombea huyo.
"Karibu Bwana Magufuli..karibu sana Lindi" mmoja wa Wanachama akimkaribisha Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli mara baaada ya kuwasili katika ofisi za CCM mkoa wa Lindi  ambapo alisaini vitabu,aliwashukuru wanachama na wafuasi wa chama hicho pamoja na kujitambulisha kwao. 
Dkt John Magufuli akisalimiana na aliyewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Mtama,kabla ya Mh.Bernad Membe,Ndugu Kassim Abdallah .

PICHA NA MICHUZI JR-LINDI

No comments:

Post a Comment