Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, August 10, 2015

MISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MZEE SAMUEL LUANGISA NEW YORK NCHINI MAREKANI

Mchungaji Butiku akiongoza misa ya shukurani na arubaini ya marehemu Mzee Samuel Luangisa iliyofanyika siku ya Jumamosi Aug 8, 2015 Mount Vernon, New York na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya Marekani.
Mrs Luangisa, mke wa marehemu akifuatilia misa.

Wanafamilia wakifuatilia misa.

Wajukuu wa marehemu wakifanya onesho la kumenzi babu yao.



Mtoto wa marehemu Mao Luangisa akitoa salamu za shukurani.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania New York Hajji Khamis akiongea machache huku akisisitiza upendo na mshikmano kwenye Jumuiya za Watanzania hususani zile zilizopo nje ya Tanzania kwani kwa kufanya hivyo Jumuiya zitakua imara.

Mchungaji Butiku akiongoza misa.

Wakati wa maakuli.

No comments:

Post a Comment