Mpiga Picha wa Gazeti la Uhuru Emmanuel Ndege akisaidiwa na waandishi wenzake mara baada ya kujeruhiwa na feni wakati waandishi hao wakisubiri Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba kuzungumza nao katika makao makuu ya chama hicho Buguruni.
BALOZI NCHIMBI ATOA SOMO UVCCM
-
-Awataka kushindana kwa hoja, akiwakabidhi jukumu zito Serikali za Mitaa
-Asema “CCM itawashinda kwa namna ambavyo hawajawahi kushindwa”
Katibu Mkuu wa Cha...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment