Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuweka Wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura katika Mikoa yote ya Unguja na Pemba kuanzia tarehe 03/09/2015 hadi tarehe 07/09/2015 ili Umma uweze kupata nafasi ya kulikagua Daftari la Awali na kutoa taarifa za kufanyiwa marekebisho pale inapostahili.
RC CHALAMILA AFANYA KIKAO KAZI NA WENYEVITI, WATENDAJI WA KATA NA MITAA DSM
-
-Atoa maagizo lukuki ya kuboresha Mkoa huo kuelekea AFCON 2027.
-Ataka muonekano mzuri wa Jiji kwa kufanya usafi wa mazingira na kuondoa
kabisa gereji ...
13 hours ago


No comments:
Post a Comment