Tume ya Taifa ya Uchaguzi inatarajia kuweka Wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura katika Mikoa yote ya Unguja na Pemba kuanzia tarehe 03/09/2015 hadi tarehe 07/09/2015 ili Umma uweze kupata nafasi ya kulikagua Daftari la Awali na kutoa taarifa za kufanyiwa marekebisho pale inapostahili.
MSAJILI WA HAZINA AZUNGUMZA NA MKURUGENZI MPYA WA HESLB
-
Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu (kulia), akizungumza na Mkurugenzi
Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dkt. Bill
Kiwia (w...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment