Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dk John Magufuli Ametangaza kufuta Sherehe za siku ya Ukimwi..Rais
Magufuli Pia Ameagiza Pesa zote zilizotakiwa Kwenye Sherehe hizo
Zitumike Kununulia Dawa.Ikumbukwe Tarehe 1 December Kila Mwaka Huwa ni
Siku ya Ukimwi Dunia.Sherehe hizo zilikuwa Zifanyike Kitaifa Mkoani
Singida
Taarifa Hizo zimetufikia Jioni hii japo Maandalizi yalikuwa yameshafanyika na Mkuu wa Mkoa alikwishafungua Maonyesho Kuelekea Kilele cha Siku hiyo CHANZO : CHANEL TEN
Taarifa Hizo zimetufikia Jioni hii japo Maandalizi yalikuwa yameshafanyika na Mkuu wa Mkoa alikwishafungua Maonyesho Kuelekea Kilele cha Siku hiyo CHANZO : CHANEL TEN
No comments:
Post a Comment