Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, November 4, 2015

WANANCHI WA KIGAMBONI WAPATA ADHA YA USAFIRI LEO ASUBUHI BAADA YA MV KIGAMBONI KUPAPATA HITILAFU

 Wananchi wakipigana vikumbo wakati walipokuwa wakishuka katika MV. Kigamboni na huku wengine wakiingia kwa kuhofia kubaki kutokana na wingi wa watu.
 Wakishuka wananchi
  Wananchi waliokuwa wakisubiri kuingia katika MV. Kigamboni huku wakiwa na Baiskeli zao ambapo kwa wenye Magari wameambiwa wapite Darajani au mwenyekuweza apaki avuke.
  Wananchi wakiwa katika mshangao 


 MV. Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni
  MV. Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni
  MV. Kigamboni ikiwa inashusha upande wa Kigamboni
Taswira katika muonekano wa  MV. Magogoni  na MV. Kigamboni

No comments:

Post a Comment