Baadhi ya Maafisa wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Mbeya, wakiongoza shughuli ya Mazishi ya aliyekuwa mkurugenzi wa michezo Jeshi la Magereza Tanzania na Kocha wa zamani wa kikosi cha Tanzania Prison, Marehemu Hassan Mlwilo, yaliyofanyika kwenye kijiji cha Mabanda wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.
PWANI WAITWA KUBORESHA TAARIFA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
-
Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jahi (Rufaa)
Mbarouk S. Mbarouk.
Chifu wa Mkoa wa Pwani Salim Mashimb
Na Khadija Kalili ...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment