Kuna ajali ya bus la Luwinzo la Njombe-Dar ktk kijiji cha Kinegembasi
Mufindi Iringa. Bus la luwinzo limeingia nyuma ya Lori na hadi sasa watu
wawili wamefariki.
AIRTEL TANZANIA YANG’ARA HUDUMA BORA ZA MTANDAO-TCRA
-
AIRTEL TANZANIA imeibuka kinara wa kutoa huduma bora za mtandao kufuatia
ripoti ya Takwimu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inayoishia
Machi 2...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment