Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, January 13, 2016

PICHA ZA HALFA FUPI YA KUMPONGEZA MBWANA SAMATTA HYATT REGENCY

 Serikali immempatia zawadi ya kiwanja na pesa ambazo thamani yake haijajulikana mchezaji bora wa Afrika Mbwana Samatta, Hayo yalisemwa jana na Mgeni Rasmi katika halfa hiyo Waziri William Lukuvi. Sherehe hizo zilifanyika  kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar.

 Waziri wa Michezo Nape Nnauye akiwa na wazazi wa Mbwana Samatta
 Mwakilishi wa Vodacom akitoa neno
 Mchezaji Thomas Ulimwengu akifurahia jambo na mdau.



 Mbwana Samatta akimpa zawadi ya jezi Waziri Lukuvi


No comments:

Post a Comment