Serikali immempatia zawadi ya kiwanja na pesa ambazo thamani yake haijajulikana mchezaji bora wa Afrika Mbwana Samatta, Hayo yalisemwa jana na Mgeni Rasmi katika halfa hiyo Waziri William Lukuvi. Sherehe hizo zilifanyika kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar.
Waziri wa Michezo Nape Nnauye akiwa na wazazi wa Mbwana Samatta
Mwakilishi wa Vodacom akitoa neno
Mchezaji Thomas Ulimwengu akifurahia jambo na mdau.
Mbwana Samatta akimpa zawadi ya jezi Waziri Lukuvi
DKT. KIJAJI: TANAPA, TAWA NENDENI NA KASI YA RAIS SAMIA KUCHECHEMUA UTALII
-
Na Sixmund Begashe, Iringa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka taasisi za
uhifadhi nchini, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania ...
1 hour ago








No comments:
Post a Comment