Serikali immempatia zawadi ya kiwanja na pesa ambazo thamani yake haijajulikana mchezaji bora wa Afrika Mbwana Samatta, Hayo yalisemwa jana na Mgeni Rasmi katika halfa hiyo Waziri William Lukuvi. Sherehe hizo zilifanyika kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar.
Waziri wa Michezo Nape Nnauye akiwa na wazazi wa Mbwana Samatta
Mwakilishi wa Vodacom akitoa neno
Mchezaji Thomas Ulimwengu akifurahia jambo na mdau.
Mbwana Samatta akimpa zawadi ya jezi Waziri Lukuvi
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUKWAMUA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA NSSF MWANZA
-
Na. Mwandishi wetu, Mwanza
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais
Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia Mfuko wa Hifadhi ya ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment