Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, January 28, 2016

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI


Spika wa Bunge Mhe. Job Y. Ndugai akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini Yasemin Eralp aliyemtembelea ofisini kwake leo tarehe 28 Januari, 2016, Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Y. Ndugai akisitiza jambo wakati akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini Yasemin Eralp aliyemtembelea ofisini kwake. Katikati ni Katibu wa Balozi huyo.

 
Spika wa Bunge Mhe. Job Y. Ndugai akisalimiana na Balozi wa Uturuki nchini Yasemin Eralp aliyemtembelea ofisini kwake Mjini Dodoma.(Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments:

Post a Comment