Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, January 29, 2016

WAZIRI MKUU MAJALIWA AZUNGUMZA NA BAADHI YA WABUNGE MJINI DODOMA LEO


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Vunjo, James Mbatia kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Januari 29, 2016.

 


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge wa Mkoa wa Simiyu, Ofisini kwake mjini Dodoma Januari 29, 2016. Kulia kwake ni Mkuu wa mkoa huo Erasto Mbwilo.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment