Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, January 11, 2016

ZIARA YA MKURUGENZI WA MAUZO NA MASOKO WA NHC LINDI, MTWARA NA RUVUMA

Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi Patrick Mussa Kamendu akimpa taarifa ya hali ya mauzo na masoko na utekelezaji wa miradi ya shirika la nyumba la taifa katika mkoa wake kwa Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa katika ziara ya NHC mkoa wa Lindi kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi Patrick Mussa Kamendu akiongozana na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Mtanda Lindi, katika ziara ya NHC mkoa wa Lindi kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
 
Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa akishuhudia jambo katika mojawapo ya nyumba za gharama nafuu za Mtanda, Lindi kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Mtanda Lindi.
Nyumba za gharama nafuu za NHC Mtanda, Lindi linavyoonekana katika picha.
Nyumba za gharama nafuu za Mtanda, Lindi linavyoonekana katika picha.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi Patrick Mussa Kamendu akimweleza jambo Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mtanda Lindi.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akimpa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya shirika la nyumba la taifa katika mkoa wake kwa Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa katika ziara ya NHC mkoa wa Mtwara kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye mradi wa nyumba za makazi Shangani Mtwara, katika ziara ya NHC mkoa wa Mtwara kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
Nyumba za makazi za Rahaleo Mtwara zinavyoonekana katika picha hivi sasa.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akimweleza jambo Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Napupa, Masasi.
Nyumba za gharama nafuu NHC Napupa, Masasi, Mtwara zinavyoonekana kwa sasa.
Nyumba za gharama nafuu NHC Mkuzo Songea zinavyoonekana kwa sasa.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Ruvuma, Saidi Bungara akiongozana na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mkuzo, Songea.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Ruvuma, Saidi Bungara akimwelekeza jambo Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mkuzo, Songea.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Ruvuma, Saidi Bungara akiongozana na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mkuzo, Songea.

No comments:

Post a Comment