Lori la Mizigo lenye namba za usalili T 493 DBR limepiga mweleka na
kuangukia basi la abiria aina ya Toyota DCM lenye namba za usajili T 104
BCT lifanyalo safari zake kati ya Gongo la Mboto mpaka Simu
2000 mapema
leo asubuhi katika makutano ya barabara ya Tabara na Mandela, jijini
Dar es salaam. Hakuna aliepoteza maisha kwenye ajali hii ila kuna watu
kadhaa wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitali kwa matibabu.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment