Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, February 23, 2016

BASI LA NATA RAHA LAPATA AJALI BUNDA LEO ASUBUHI NA KUUA WATU WANNE


Watu wanne wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa wajeruhiwa leo asubuhi baada ya basi la Nata Raha toka Serengeti kuacha njia na kugonga nguzo eneo la Kwa Sabato, Bunda. Mganga Mkuu Nicholas 
 
Machochota athibitisha kutokea kwa vifo hivyo, pia majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya Bungando kwa matibabu zaidi.

No comments:

Post a Comment