Benki ya NMB imetoa vifaa hivyo pamoja na kugharamia sehemu ya gharama za mkutano huo ikiwa kama mdau wa Jeshi la Polisi, ambapo pia katika mkutano wa maofisa hao kwa mwaka jana ilitoa takribani kiasi cha shilingi milioni 75 pamoja na msaada wa pikipiki tano ili kulisaidia jeshi katika kutimiza majukumu yake na kudumisha ushirikiano na kampuni hiyo.
SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA'S PROUD
UNION ANNIVERSARY
-
*60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and
Strengthened for the Development of Our Nation.*
1. Introduction.
The United Republic ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment