Gari
ya RTO SINGIDA ikiwa imepata ajali kwenye msafara wa Rais huko Isuna
Singida. Taarifa ya awali inasema RSA MANYARA WANARIPOTI KUWA "...askari
watatu wamepoteza maisha, Inspector mmoja na Sgt wawili akiwemo
Dereva."
RIP WAPIGANAJI
SIKU 100 ZA RAIS SAMIA: BILIONI 69 ZA REA KUNUFAISHA VITONGOJI 634 MKOANI
RUVUMA
-
-Mradi unatekelezwa kwa Miaka Mitatu
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi kabambe
wa shilingi bilioni 69 wa kusambaza umeme ...
1 hour ago





No comments:
Post a Comment