Gari
ya RTO SINGIDA ikiwa imepata ajali kwenye msafara wa Rais huko Isuna
Singida. Taarifa ya awali inasema RSA MANYARA WANARIPOTI KUWA "...askari
watatu wamepoteza maisha, Inspector mmoja na Sgt wawili akiwemo
Dereva."
RIP WAPIGANAJI
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment