Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, February 2, 2016

JENGO LA GHOROFA 16 LILILOPO MTAA WA INDRA GHANDI JIJINI DAR LINAANDALIWA KWAAJILI YA KUBOMOLEWA.


 Alama zinazotoa tahadhali kwa watumiaji wa barabara hii wakiwa wakiwa wamewekewa tahadhali kwaajili ya kuvunjwa kwa gharofa la Ghorofa 16 lililopo mtaa wa Indra Ghandi jijini Dar es Salaam.
Mafundi wakiwatoa vyuma kupisha ubomoaji wa jengo la ghorofa 16 lililopo katika mtaa wa Indra Ghandi jijini Dar es Salaam. 

 
Jengo la Ghorofa 16 linaloandaliwa kwaajili ya kubomoa.
Picha na Avila Kakingo wa Globu ya Jamii.

No comments:

Post a Comment