Kampuni maarufu duniani ya kutengeneza viatu na nguo Nike wamesitisha mkataba wao na bondia Manny Paquiao baada ya bondia huyo kutoa maneno makali kuhusiana na mahogany kwa kusema watu
wanaoshiriki mapenzi ya Jinsia moja ni kama wanyama.Baadae bondia huyo aliomba msamaha kwa Kauli Yake hiyo.
SINGIDA WAANZA KUTOA CHANJO YA SARATANI YA MLANGO WA UZAZI KWA WASICHANA
178,114.
-
Mkoa wa Singida umezindua rasmi zoezi la utoaji wa chanjo wa Saratani la
mlango wa uzazi kwa wasichana mwenye umri kati ya miaka Tisa hadi 14 ambapo
Wasi...
13 hours ago
No comments:
Post a Comment