Tumepokea taarifa kuwa gari ya mke wa waziri mkuu mstaafu mama Tunu
Pinda imepata ajali Morogoro. "Hiyo ajali ni kweli imetokea mchana wa
leo hiyo gari imegongana
na mpandapikipiki na amefariki. Chanzo cha
ajali ni mpanda pikipiki kuingia barabara kubwa akitokea barabara ndogo
bila kuchukua tahadhari."Watu wanne wamejeruhiwa, mpanda pikipiki
amefariki.
RC Sendiga awataka Wanawake kutambua nafasi zao ndani ya ndoa, akemea
ukatili wa Kijinsia
-
*Manyara — Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Cuthbert Sendiga, amewataka
wanawake wakiwemo viongozi kutambua na kuheshimu nafasi zao ndani ya ndoa,
akis...
32 minutes ago



No comments:
Post a Comment