Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, February 26, 2016

Previous messageNext messageBack to messages HALMASHAURI MPYA YA MJI WA MBINGA MKOANI RUVUMA, YAAZIMIA KUNUNUA MITAMBO MAALUMU YA KUSAGA TAKA TAKA ILI KUONDOKANA NA USHAFU KATIKA MJI HUO

Mkurugenzi wa halmashauri mpya ya mji wa Mbinga   OSCAY YAPESA.
.....................
Halmashauri mpya ya mji wa Mbinga mkoani Ruvuma, imeazimia kununua mitambo maalumu ya kusaga takataka ili kuondokana na hatari ya kukumbwa na magonjwa ya milipuko inayotokana na uchafu ikiwemo kipindupindu , pia takataka hizo zitakazokuwa zikisagwa kwenye mitambo hiyo zitatumika kama mbolea kwenye mashamba ya wakulima.Story kamili hii hapa RUVUMA TV.

No comments:

Post a Comment