Halmashauri mpya ya mji wa Mbinga mkoani Ruvuma, imeazimia kununua mitambo maalumu ya kusaga takataka ili kuondokana na hatari ya kukumbwa na magonjwa ya milipuko inayotokana na uchafu ikiwemo kipindupindu , pia takataka hizo zitakazokuwa zikisagwa kwenye mitambo hiyo zitatumika kama mbolea kwenye mashamba ya wakulima.Story kamili hii hapa RUVUMA TV.
Wanawake wa Jamii ya kimasai waomba kampeni ya Samia legal Aid, iwafikie
vijijini
-
Na Pamela Mollel, Arusha.
Wanawake wa Jamii ya Kimasai wameiomba serikali kufikisha huduma za msaada
wa kisheria katika jamii za pembezoni ili kusaidia kuk...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment