Halmashauri mpya ya mji wa Mbinga mkoani Ruvuma, imeazimia kununua mitambo maalumu ya kusaga takataka ili kuondokana na hatari ya kukumbwa na magonjwa ya milipuko inayotokana na uchafu ikiwemo kipindupindu , pia takataka hizo zitakazokuwa zikisagwa kwenye mitambo hiyo zitatumika kama mbolea kwenye mashamba ya wakulima.Story kamili hii hapa RUVUMA TV.
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment