Halmashauri mpya ya mji wa Mbinga mkoani Ruvuma, imeazimia kununua mitambo maalumu ya kusaga takataka ili kuondokana na hatari ya kukumbwa na magonjwa ya milipuko inayotokana na uchafu ikiwemo kipindupindu , pia takataka hizo zitakazokuwa zikisagwa kwenye mitambo hiyo zitatumika kama mbolea kwenye mashamba ya wakulima.Story kamili hii hapa RUVUMA TV.
TAEC Yaongeza Ushirikiano na India Kukuza Teknolojia ya Nyuklia
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Dar es Salaam. Tanzania imepiga hatua muhimu katika kuimarisha matumizi
salama na ya amani ya teknolojia ya nyuklia kufuatia ziara ya...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment