Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongea na wananchi Msamvu mkoani Morogoro mchana wa leo wakati akiwa njiani kulekea Mkoani Dodoma kwa kwa njia ya Barabara. Kesho anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye Sherehe za Miaka 39 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) zitakazoadhimishwa Kitaifa mkoani Singida.
MBUNGE KAIRUKI ATOA MATUMAINI MAPYA SARANGA, AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA
KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI
-
Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Kibamba, Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki,
amefanya ziara ya kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo
inayoendelea...
55 minutes ago



No comments:
Post a Comment