Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiongea na wananchi Msamvu mkoani Morogoro mchana wa leo wakati akiwa njiani kulekea Mkoani Dodoma kwa kwa njia ya Barabara. Kesho anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye Sherehe za Miaka 39 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) zitakazoadhimishwa Kitaifa mkoani Singida.
Rais Samia apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
(CAG) na Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) leo
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
23 minutes ago
No comments:
Post a Comment