Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, February 19, 2016

TAASISI YA MANJANO FOUNDATION WAENDELEA KUWAELIMISHA WANAWAKE KUTOKA ARUSHA NA KILIMANJARO

Mmoja kati ya wanawake walioshirikia Mafunzo ya Ujasiriamali Kutoka Mkaoni Arusha akiwa kwenye Muonekano tofauti Mara na Naada ya Kutumia Vipodozi kwa Usahihi baada ya Kuapatiwa Elimu hiyo na wataalamu kutoka Taasisi ya Manjano foundation..
Mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake wa arusha yameingia awamu ya pili.Washiriki wamepata fursa ya kufahamu zaidi kuhusu vipodozi vya LuvTouch Manjano na namna ya kuvitumia. Mkufunzi na Mkurugenzi wa taasisi ya Manjano Foundation amependekeza wanawake wa jiji la Arusha kutumia vipodozi kwa usahihi kwa lengo la kujijengea heshima na kujiongezea kipato katika kazi yao ya upambaji.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Manjano Foundation na Mkufunzi wa Maswala ya Vipodozi Mama Shekha Nasser Akitoa elimu Kuhusu Matumizi Sahihi ya Vipodozi Kwenye Semina ya Ujasiriamali kwa Wanawake wa Jiji la Arusha 
Akielezea zaidi alisema matumizi sahihi ya vipodozi hasa vya LuvTouch Manjano vitakupa kazi nzuri na bora ambayo kila mteja ataipenda na kulifanya soko la kila mwanamke kukua kutokana na ubora wa kazi ya mikono yake

No comments:

Post a Comment