Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, February 5, 2016

TAZAMA PICHA ZA MATUKIO YA BUNGENI LEO

Waziri mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Ilemela na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula kwenye jengo la Utalwala la Bunge mjini Dodoma Februari 5, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akisalimiana na Mbunge wa Longido, Onesmo Ole- Nangole kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 5, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akisalimiana na Mbunge wa Simanjiro , James Ole Millya (kulia)kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 5, 2016. Katikati ni Mbunge wa longido, Onesmo Ole Nangole.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (katikati) na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), Patrobas katambi (kulia) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 5, 2016.

 
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 5, 2016.
Waziri wa fedha na Mipango Mhe. Dkt Philip Mpango (Kulia) pamoja na Waziri wa Elimu,Ufundi,Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof Joyce Ndalichako wakiwasili katika ukumbi wa Bunge kushiriki kikao cha 9 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Askari wa Bunge akiweka Siwa katika ukumbi wa Bunge kuashiria kuanza kwa kikao cha 9 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Naibu Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Tulia Ackson akiongoza kikao cha 9 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Naibu wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt Ashatu Kijaji wakatiakitoa Taarifa ya Utendaji wa Soko la Bima Nchini kwa kipindi cha Mwaka unaoishia tarehe 31 Desemba,2014 wakati wa kikao cha 9 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Waziri wa Elimu,Ufundi,Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof Joyce Ndalichako akiwasilisha Taarifa ya mwaka ya chuo Kikuu Cha Dodoma kwa mwaka wa Fedha 2013/2014 katika kikao cha 9 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akiteta jambo na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga taifa Mhe.Dkt Hussein Ali Mwinyi wakati wa katika kikao cha 9 cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment