Wachezaji hao pia wamepewa nishani.Chui hao wa Kinshasa walitwaa kombe kwa kulaza Mali 3-0 kwenye fainali na kuwa taifa la kwanza kushinda kombe hilo mara mbili.Mwandishi wa BBC Mbelechi Msochi anasema mchezaji Heritier Luvumbu Nzinga aliyeumia kwenye michuano hiyo pia ameahidiwa kwamba atasafirishwa ng'ambo kwa matibabu.
Wanafunzi waliopata Division One St Mary’s wajazwa noti
-
Na Mwandishi Wetu
WANAFUNZI 30 wa shule ya St Mary’s Mbezi waliopata daraja la kwanza kwenye
matokeo ya kidato cha nne mwaka huu wamepewa zawadi mba...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment