Wachezaji hao pia wamepewa nishani.Chui hao wa Kinshasa walitwaa kombe kwa kulaza Mali 3-0 kwenye fainali na kuwa taifa la kwanza kushinda kombe hilo mara mbili.Mwandishi wa BBC Mbelechi Msochi anasema mchezaji Heritier Luvumbu Nzinga aliyeumia kwenye michuano hiyo pia ameahidiwa kwamba atasafirishwa ng'ambo kwa matibabu.
Rais Samia: Tanzania na Uganda kuimarisha ushirikiano Miundombinu, Biashara
na Usalama
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema
Tanzania na Uganda zimekubaliana kuimarisha ushirikiano ka...
1 hour ago




No comments:
Post a Comment