Katika kufuatilia maudhui ya vyombo vya utangazaji, mamlaka ya
mawasiliano Tanzania [TCRA] imebaini kuwa miziki ya video inayokiuka
kanuni za utangazaji kwa kuonyesha picha zisizozingatia maadili na
ambazo zinachochea watoto kuiga maadili mabaya.
Mfano wa nyimbo hizo ni pamoja na ‘Zigo’ ulioimbwa na Ay
akimshirikisha Diamond. Video za miziki ya aina hii zinaudhalilisha
utamaduni wetu na zinakinzana na kanuni za huduma za utangazaji
[Maudhui] 2005].
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment