Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, March 8, 2016

Proin Promotions Ltd yajivunia kutoa washindi wawili wa tunzo za Africa Magic 2016

 Baadhi ya wadau na wapenzi wa filamu wakiwa uwanja wa ndege wakimsubiri kumpokea Mshindi wa Tunzo ya Filamu bora ya Kiswahili Single Mtambalike katika shindano la Africa Magic lililofanyika nchini Nigeria Mwishoni mwa wiki
wapenzi wakisubiri mshindi

 
Familia ya Single Mtambalike
akipokelewa na familia
Mwakilishi wa Proin Promotions.Josephat Lukaza akiongea na wanahabari kuhusiana na filamu za Proin kunyakua tunzo hizo katika Kinyangiro cha AMVCA2016.Picha Zote na Josephat Lukaza

No comments:

Post a Comment