Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, March 7, 2016

WWF KUSAIDIA UJENZI WA MAJIKO SANIFU KATIKA SHULE TATU ZA MANISPAA YA MOSHI NA KUWEKA SOLAR KATIKA ZAHANATI YA MSARANGA

Shule ya Sekondari , J.K Nyerere iliyopo manispaa ya Moshi ni moja kati ya shule zitakazonufaika na msaada wa kujengewa majiko sanifu na Shirika la kimataifa la Mazingira (WWF-Tanzania) 
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako akiongozana na wa wakuu wa idara katika Halmashauri ya Manispaa ya Moshi walipotembelea shule ya sekondari J.K Nyerere .
 
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako wakiwa katika jiko la shule hiyo kuangalia namna ambavyo wanaweza kupunguza matumizi ya kuni kupikia.
Matumizi ya kuni ni makubwa katika shule za msingi ambazo zimekuwa zikitumika kupikia hali inayochangia ongezeko la uharibufu wa mazingira kwa kukata miti.
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako akitia saini katika kitabu cha wageni katika shule hiyo ,katikati ni mkuu wa shule hiyo , Parfectius Mushi akimtizama na kulia ni afisa kutoka WWF ,
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako (kulia) akiwa na kaimu mkuu wa shule ya msingi Langoni ,Mwl Hamad,alipotembelea kujionea namna gani wanavyoweza saidia katika ujenzi wa majiko sanifu. 
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako akiwa ameongozana na wakuu wa idara za Halmashauri ya manispaa ya Moshi kutembelea jiko lilopo katika shule ya msingi Langoni mjini Moshi.
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako akimueleza jambo Meneja Mradi wa ICLEI Africa Irina Velasco walipotembelea jiko la shule hiyo.
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako akitia saini katika kitabu cha wageni katika shule ya msingi Msandaka alipotembelea shule hiyo.
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako akiongozwa na kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi,Danford Kamenya wakielekea kutizama jiko la shule hiyo.
Jiko la shule ya msingi Msandaka.
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi Msandaka katika manispaa ya Moshi.
Baadhi ya wanafunzi katika shule hiyo wakiwa katika chombo maalumu cha kuhifadhia nafaka shuleni hapo.
Diwani wa kata ya Ng'ambo ,Genesis Kiwhelu akisalimiana na Irina Velasco wa ICLEI alipowapokea katika zahanati ya Msaranga ambapo ujumbe wa WWF ulifika kuangalia namna ya kuisadia zahanati hiyo vifaa vya Nishati ya Umeme unaotokana na jua.
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako akitembelea katika zahanati hiyo.
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako akisikiliza maelezo kutoka kwa mganga kiongozi wa zahanati ya Msaranga Dkt Para.
Mratibu wa Nishati wa Shirika la kimataifa la utunzaji Mazingira ,(WWF-Tanzania) Dkt Teresia Olemwako na ujumbe wake wakiwa katika eneo la kata ya Ngangamfumuni ambako WWF imepanga kuotesha miti.
Afisa Habari wa manispaa ya Moshi,Ramadhan Hamisi akieleza jambo kwa ujumbe huo mara baada ya kutizama eneo litakalo oteshwa miti.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment