Steve Chagoma kulia wa timu ya Malawi akivaana na Paul Were wa Harambee Stars katika
mchezo wa kombe la TUSKER CECAFA CHALLENGE CUP 2011 uliofanyika leo
jioni kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam huku timu ya Malawi
ikiibuka na magoli 2-0 dhidi ya Harambee Stars ya Kenya.
(PICHA NA MOHAMED MAMBO-DAR ES SALAAM)
HIFADHI YA SERENGETI NA MLIMA KILIMANJARO ZASHINDA TUZO BARANI AFRIKA
-
Taasisi ya World Travel Awards imetangaza hifadhi mbili za Tanzania kuwa
washindi katika vipengele vya hifadhi na kivutio bora cha utalii barani
Afrika kwa...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment