Mheshimiwa
Mary Nagu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na
Uwezeshaji akiongea na washiriki wa tamasha la AZAKI wakati akiongea
nao wakati kifungua tamashya hilo lililoanza leo kwenye Ubungo Plaza
kwenye Hoteli ya Blue Pearl jijini Dar es salaam, tamasha hilo ambalo
linaambatana na maonyesho ya bidhaa mbalimbali za wana AZAKI yatafanyika
kwa siku tatu mfurulizo.

Mkurugenzi
wa Asasi za Kiraia AZAKI Bw. John Ulanga akizungumza katika ufunguzi wa
Tamasha hilo kabla ya Waziri Dk. Mary Nagu kufungua tamasha hilo
asubuhi hii katika hoteli ya Bleu Pearl.

Mmojawa
wa washiriki ambaye ni mlemavu wa ngozi akiandika mambo muhimu ya
yaliyokuwa yakizungumzwa na Waziri Dk. Mary Nagu wakati akifungua
mkutano huo.
Baadhi
ya washiriki wa Tamasha hilo wakimkaribisha Waziri Dk. Mary Nagu wakati
alipokuwa akiiingia katika ukumbi wa mkutano tayari kwa kuzindua
tamasha hilo asubuhi hii
No comments:
Post a Comment