Manchester
United wamethibitisha kukamilisha usajili wa mchezaji bora wa ligi kuu
ya Ujerumani Shinji Kagawa, aliyekuwa akiichezea Dortmund ambao ndio
mabingwa wa Bundesliga.
Kiungo huyo mwenye miaka 23, atajiunga rasmi na United kwa ada ya £12million mwezi ujao baada ya kufaulu vipimo vya afya pamoja na kupata kibali cha kufanya kazi Uingereza.
Taarifa iliyotolewa na United kupitia website yao: "Tuna furaha ya kuwatangazia kwamba tumekubaliana kimsingi na Borrussi Dortmund na Shinji Kagawa kuhamia kwenye klabu yetu.
"Dili litakamilika baada ya mchezaji kufaulu vipimo vya afya na kupata kibali cha kufanya kazi UK.
"Vitu hivi tunategemea vitakamilika ndani ya mwezi ujao."
Mchezaji wa United Rio Ferdinand alifurahishwa sana usajili wa Kagawa na akaandika kwenye ukarasa wake wa Twitter: "Karibu Manchester United Shinji Kagawa.
Kiungo huyo mwenye miaka 23, atajiunga rasmi na United kwa ada ya £12million mwezi ujao baada ya kufaulu vipimo vya afya pamoja na kupata kibali cha kufanya kazi Uingereza.
Taarifa iliyotolewa na United kupitia website yao: "Tuna furaha ya kuwatangazia kwamba tumekubaliana kimsingi na Borrussi Dortmund na Shinji Kagawa kuhamia kwenye klabu yetu.
"Dili litakamilika baada ya mchezaji kufaulu vipimo vya afya na kupata kibali cha kufanya kazi UK.
"Vitu hivi tunategemea vitakamilika ndani ya mwezi ujao."
Mchezaji wa United Rio Ferdinand alifurahishwa sana usajili wa Kagawa na akaandika kwenye ukarasa wake wa Twitter: "Karibu Manchester United Shinji Kagawa.
KWA HISANI YA SHAFFIH DAUDA BLOG
No comments:
Post a Comment