Mashabiki wa mpira wa miguu
huko Sironko Uganda wamepata mshituko baada ya mchezaji kuzimia kwenye
uwanja wa mpira na kufariki dunia wakati akipelekwa hospitali.
Simon Musika ana umri wa miaka
30 na alicheza kwenye hiyo mechi ya timu za mitaani kwa dakika 15 kabla
ya kuzimia na kufariki dunia ambapo baada ya taarifa za kifo chake
ilibidi mechi isimamishwe.
Ndugu wa marehemu walikusanyika kwenye uwanja wa mpira muda mfupi tu baada ya kifo cha mchezaji huyo.
SOURCE MILLARD AYO
AFRIKA YAHIMIZWA KUJENGA MUSTAKABALI SALAMA KWA WATOTO.
-
Mke wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi. Neema Mwigulu
Nchemba, ametoa wito kwa viongozi na wadau wa Afrika kuweka kipaumbele
katika ul...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment