Mashabiki wa mpira wa miguu
huko Sironko Uganda wamepata mshituko baada ya mchezaji kuzimia kwenye
uwanja wa mpira na kufariki dunia wakati akipelekwa hospitali.
Simon Musika ana umri wa miaka
30 na alicheza kwenye hiyo mechi ya timu za mitaani kwa dakika 15 kabla
ya kuzimia na kufariki dunia ambapo baada ya taarifa za kifo chake
ilibidi mechi isimamishwe.
Ndugu wa marehemu walikusanyika kwenye uwanja wa mpira muda mfupi tu baada ya kifo cha mchezaji huyo.
SOURCE MILLARD AYO
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA SLOVAKIA AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Masuala ya Ulaya wa Jamhuri ya Slovakia, Mhe.
Juraj Blanár, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi kuanzia Juni 10 hadi 11,
2026,...
7 hours ago


No comments:
Post a Comment