Mashabiki wa mpira wa miguu
huko Sironko Uganda wamepata mshituko baada ya mchezaji kuzimia kwenye
uwanja wa mpira na kufariki dunia wakati akipelekwa hospitali.
Simon Musika ana umri wa miaka
30 na alicheza kwenye hiyo mechi ya timu za mitaani kwa dakika 15 kabla
ya kuzimia na kufariki dunia ambapo baada ya taarifa za kifo chake
ilibidi mechi isimamishwe.
Ndugu wa marehemu walikusanyika kwenye uwanja wa mpira muda mfupi tu baada ya kifo cha mchezaji huyo.
SOURCE MILLARD AYO
WANAOKUSANYA BETRI CHAKAVU BILA KUFUATA TARATIBU, AGENDA WATOA NENO KWA
WADAU
-
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira(NEMC)limewashauri watu
wote wanaojihusisha na kukusanya betri chakavu na...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment