WADHAMINI
wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Kampuni ya Vodacom itakabidhi zawadi kwa
washindi wa ligi hiyo keshokutwa kwenye hoteli ya Double Tree Hilton
mjini Dar es Salaam.
![]() |
| Mfungaji bora, John Bocco atapokea kitita keshokutwa |
![]() |
| Mfungaji bora, John Bocco atapokea kitita keshokutwa |
No comments:
Post a Comment