Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, June 28, 2012

VINARA WA LIGI KUU SIMBA NA AZAM KUPEWA ZAWADI ZAO KESHOKUTWA



MABINGWA; Kikosi cha Simba msimu uliopita, kutoka kulia Okwi, Kaseja, Kapombe, Maftah, Kazimoto, Chollo, Uhuru, Yondan, Boban, Mafisango (marehemu) na Sunzu. Wengine ni Dk Kapinga wakati kocha Milovan amechuchumaa mbele. 
WADHAMINI wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Kampuni ya Vodacom itakabidhi zawadi kwa washindi wa ligi hiyo keshokutwa kwenye hoteli ya Double Tree Hilton mjini Dar es Salaam.
Mfungaji bora, John Bocco atapokea kitita keshokutwa

No comments:

Post a Comment