Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, June 29, 2012

WASOMALI WALIOFARIKI KWA KUWEKWA NDANI YA KONTEN KUZIKWA LEO!


Habari zinasema waliofariki dunia walikua Wasomali 44 waliokuwa washafika mkoani Dodoma nchini Tanzania. Na marehemu wengine ni ya wasomali 22 ambao wote imebidi wazikwe hapa hapa Tanzania kwa sasa kwenye makaburi ya kola mkoani Morogoro, na  wengine 22 wamezikwa mkoani Dodoma,huku wenzao wengina waliokolewa katika janga hilo.

No comments:

Post a Comment