Habari zinasema waliofariki dunia walikua Wasomali
44 waliokuwa washafika mkoani Dodoma nchini Tanzania. Na marehemu
wengine ni ya wasomali 22 ambao wote imebidi wazikwe hapa hapa Tanzania
kwa sasa kwenye makaburi ya kola mkoani Morogoro, na wengine 22 wamezikwa mkoani Dodoma,huku wenzao wengina waliokolewa katika janga hilo.
PIC YATEMBELEA MAABARA ZA TBS, YAFURAHISHWA UTENDAJI KAZI WAKE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeipongeza
TBS kwa kazi nzuri yenye weledi hususani katika ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment