Habari zinasema waliofariki dunia walikua Wasomali
44 waliokuwa washafika mkoani Dodoma nchini Tanzania. Na marehemu
wengine ni ya wasomali 22 ambao wote imebidi wazikwe hapa hapa Tanzania
kwa sasa kwenye makaburi ya kola mkoani Morogoro, na wengine 22 wamezikwa mkoani Dodoma,huku wenzao wengina waliokolewa katika janga hilo.
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA SLOVAKIA AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Masuala ya Ulaya wa Jamhuri ya Slovakia, Mhe.
Juraj Blanár, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi kuanzia Juni 10 hadi 11,
2026,...
23 hours ago



No comments:
Post a Comment