Dkt
Jeff Balch – Mkurugenzi wa Shrika lisilo la kiserikali linalosaidia
mabunge wa nchi za Jumuiya ya Madola (European Parliaments with
Africa-AWEPA) (wa pili kulia), Meneja wa Mradi B Kristen Heim
wakijadili jambo na Mwenyekiti wa Bishara, Maendeleo na Uhusiano wa
SADC-PF Mhe. Habib Mnyaa wakati wa mkutano wa 31 wa mabunge ya nchi
wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo kusini mwa Afrika –SADC-PF mjini
Maputo Msubiji, leo. Mwingine ni Bw. Paul Msoma, Afisa katika Kamati ya
Bisahara, Maendeleo na Uhisana wa SADC-PF. Awepa itakuja Tanzania mwezi
Spetemba mwaka huu kuona jinsi ya kizisaidi kamati za Bunge kujijengea
uwezo.
DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO KAZI KUHUSU UJENZI WA MIRADI YA BARABARA ZA
HARAKA KWA UBIA WA MFUMO WA PPP
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 17, 2026 ameongoza kikao cha
kazi kuhusu ujenzi wa miradi ya barabara za haraka (Express Ways) kwa ubia
kupit...
40 minutes ago


No comments:
Post a Comment