GHOROFA LILIOPO KATI YA KARIAKOO LIVING STONE JIJINI DARESALAAM LINAWAKA MOTO!
Jengo la Ghorofa lililopo mitaa yaKariakoo na Livingstone,
jijini Dar es Salaam, likiwa limeshika moto leo mchana kutokana na sababu ambazo hazijajulikana mara moja. Chumba kimoja kilichokuwa na chupa kibao za manukato kimeteketea.
TBN yatoa Ufafanuzi Kuhusu Mkutano wa Ikulu
-
*Dar es Salaam.* Mtandao wa Wanablogu Tanzania (TBN) unapenda kutoa
ufafanuzi rasmi na kuweka mambo wazi kufuatia taarifa zisizo sahihi na
zinazoleta ...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment