Habari kutoka Iramba mkoani Singida zinapasha kuwa vurugu zimezuka
katika Mkutano wa Siasa baada ya wafuasi wa chama kimoja kutoa lugha za
matusi kwa kiongozi wa Chama Kingine cha siasa ambaye pia ni Mbunge na
wananchi waliokuwa mkutanoni hapo kuwaambia kuwa waache matusi ndipo
watu hao walifukuzwa hadi majumbani mwao na kushambuliwa vibaya na
hatimaye Kiongozi Mmoja kudaiwa kupoteza maisha.
Airtel Tanzania Yazindua Minara Miwili Mipya ya Mawasiliano Simanjiro na
Mara
-
*Kuchochea huduma ya mawasiliano na ujumuishaji kidijitali kwa Jamii
Zilizokuwa Hazijahudumiwa vya Kutosha
Tanzania, 15 Januari 2026.
KAMPUNI ya Airtel T...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment