Habari kutoka Iramba mkoani Singida zinapasha kuwa vurugu zimezuka
katika Mkutano wa Siasa baada ya wafuasi wa chama kimoja kutoa lugha za
matusi kwa kiongozi wa Chama Kingine cha siasa ambaye pia ni Mbunge na
wananchi waliokuwa mkutanoni hapo kuwaambia kuwa waache matusi ndipo
watu hao walifukuzwa hadi majumbani mwao na kushambuliwa vibaya na
hatimaye Kiongozi Mmoja kudaiwa kupoteza maisha.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Kujenga Taasisi ya Saratani
-
Na Mwandishi Wetu ,Zanzibar
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt. Mngereza Mzee Miraji, amesema
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepanga kuanza ...
35 minutes ago


No comments:
Post a Comment