PICHA 7 ZA NDEGE YA AIR TANZANIA MPAKA COMORO, IMERUDISHA SAFARI.
Shirika la Ndege la AIR TANZANIA limerudisha safari zake kati ya DAR
na MOROCO ambapo sasa itakua inasafirisha abiria mara nne kwa wiki.
.
Mwimbaji mkongwe nchini, Bi. Kidude, alikuwa mmoja wa abiria kwenye
safari hii. Kaimu Mkurugenzi wa Biashara ATCL, Bi. Mwanamvua Ngocho
alichukua fursa kwenda kumsalimia.
Uchumi : Rais Samia Aipa BOT Dira Mpya
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameielekeza
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuongeza uwezo wa kuc...
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment