Wauzaji wa vifaa mbalimbali vya
mahospitalini Tanzania Medical Equipment wanawakaribisha wadau na
watanzania kwa ujumla pamoja na wageni mbalimbali kutembelea banda lao
lilipo katika Maonesho haya ya kimataifa ya Biashara Dar es Salaam
yanayoendeleo katika viwanja vya Mwal. JK Nyerere barabara ya Kilwa au
maarufu Saba Saba.
BUNGE LA 13 LAUNDA KAMATI 17, UPINZANI WAPENYA HUKU WANAWAKE WAKIWA WENGI
ZAIDI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Bunge la 13 limeunda jumla ya Kamati 17 huku wanawake wengi wakichomoza
kuongoza kamati hizo, Wabunge wa upinzani wa ...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment