Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Chocky akiimba katika moja ya shoo walizoanza kuzifanya Finland wakati wa Tamasha la First AfrikaChocky akicheza sambamba na wanamuziki wakeKiongozi wa wacheza shoo, Super Nyamwela akicheza sambamba na wacheza shoo wenzake FinlandWacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa tamasha hilo nchini FinlandKiongozi wa Wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo, Super Nyamwela akiwaongoza wazungu kucheza baada ya kuvutiwa na staili za wacheza shoo wa bendi hiyo.Wacheza shoo wa Extra Bongo wakicheza huku wakiwa kwenye vazi la asili ya Kitanzani nchini Finland kwenye Tamasha la Fist Afrika
ALAF YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA UZINDUZI WA PROGRAMU YA UONGOZI NA
KUISAIDIA JAMII
-
KAMPUNI ya ALAF, imezindua Kundi la tano la Mpango wa Wanawake katika
Uongozi kama sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake, ambayo
huadhimis...
1 hour ago







No comments:
Post a Comment