Timu
ya Taifa ya Olimpiki inaondoka leo kwenda nchini Uingereza kushiriki
michezo ya 30 ya Olimpiki itakayofanyika jijini London. Wachezaji
watakaoondoka ni pamoja na wanariadha Samson Ramadhan, Mohamed Msindoki,
Faustine Mussa (marathon) na Zakhia Mrisho anayekimbia mita 5,000. Pia
Bondia pekee katika safari hiyo ni Seleman Kidunda, kwa upande wa
kuogelea utawakilishwa na Magdalena Moshi.
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA SLOVAKIA AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Masuala ya Ulaya wa Jamhuri ya Slovakia, Mhe.
Juraj Blanár, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi kuanzia Juni 10 hadi 11,
2026,...
20 hours ago


No comments:
Post a Comment