Mkijua sheria za usalama barabarani hata rushwa hamtatoa maana unajua sheria
Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani mkoani wa Arusha Marson mwakyoma akiongea na baadhi ya madereva wa pikipiki waliofuata pikipiki zao kituoni hapa ambazo zimekamatwa ZAIDI ya asilimia 90% ya madereva wa pikipiki mkoani Arusha hawana leseni za udereva na wengine hawajui sheria za barabaraniHayo yamebainishwa na kamanda wa kikosi cha usalama barabarani mkoani hapa Marson Mwakyoma wakati akifanya mahojiano na libeneke la kaskazini ofisini kwakeAlisema kuwa kutokana na ajali nyingi ambazo zimekuwa zikitokea kikosi cha usalama babarbarani kimefanya uchunguzi na kubaini kuwa zaidi ya madereva hao wamekuwa hawana leseni na ambao wanayo wamekuwa hawajapata kwakufata sheria na wengine hawajasoma kabisa.
WAZIRI WA ARDHI DKT AKWILAPO AKUTANA NA RC MTWARA
-
Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo leo
tarehe 22 Desemba 2025 amekutana na kufanya m...
1 hour ago



No comments:
Post a Comment