HI ni moja ya gari yetu ya altezza ambayo ilienda jijin dodoma kwa ajili ya kupeleka family kula sikuku, lakini kwa bahati mbaya juzi wazee wa kazi waliingia na kufumua taa zote za nyuma, power window pamoja na site mirrorthadhari;kwa hiyo ndugu wasomaji blog ya ujanatz ilipoenda katka kituo kikuu cha polisi cha dodoma tukapewa taarifa kuwa gari zaidi ya saba zishapigwa, na inavyoonekana hao jamaa ni maprofressiona so chukua tahadhari kabla hujalizwa!
EXIM BANK YAINGIA MKATABA WA MIAKA MITATU NA ZATI
-
*21 Februari 2025, Zanzibar – Benki ya Exim imeingia mkataba wa miaka
mitatu na Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (ZATI) kwa lengo la
kukuza na kuinu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment