HI ni moja ya gari yetu ya altezza ambayo ilienda jijin dodoma kwa ajili ya kupeleka family kula sikuku, lakini kwa bahati mbaya juzi wazee wa kazi waliingia na kufumua taa zote za nyuma, power window pamoja na site mirrorthadhari;kwa hiyo ndugu wasomaji blog ya ujanatz ilipoenda katka kituo kikuu cha polisi cha dodoma tukapewa taarifa kuwa gari zaidi ya saba zishapigwa, na inavyoonekana hao jamaa ni maprofressiona so chukua tahadhari kabla hujalizwa!
Benki ya Exim Tanzania na Toyota Washirikiana Kurahisisha Upatikanaji wa
Magari kwa Watanzania
-
Benki ya Exim Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Toyota
wenye lengo la kufanya umiliki wa magari kuwa rahisi zaidi na nafuu kwa
Watanz...
3 hours ago



No comments:
Post a Comment