HI ni moja ya gari yetu ya altezza ambayo ilienda jijin dodoma kwa ajili ya kupeleka family kula sikuku, lakini kwa bahati mbaya juzi wazee wa kazi waliingia na kufumua taa zote za nyuma, power window pamoja na site mirrorthadhari;kwa hiyo ndugu wasomaji blog ya ujanatz ilipoenda katka kituo kikuu cha polisi cha dodoma tukapewa taarifa kuwa gari zaidi ya saba zishapigwa, na inavyoonekana hao jamaa ni maprofressiona so chukua tahadhari kabla hujalizwa!
MSD YAIHAKIKISHIA KAMATI YA BUNGE UBORA WA HUDUMA KATIKA UTEKELEZAJI WA
BIMA YA AFYA KWA WOTE
-
Bohari ya Dawa (MSD) imeihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na
Masuala ya UKIMWI kuwa itaendelea kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za afya
zenye u...
2 hours ago



No comments:
Post a Comment