Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, August 17, 2012

ANGALIA MATUKIO YOTE YA ROBIN VAN PERSIE SIKU YAKE YA KWANZA ALIPOSAJILIWA NA MAN UTD



Mchezaji mpya wa Manchester United, Robin van Persie (kushoto) wa Uholanzi akishikilia jezi Na.20 na kocha Alex Ferguson kwenye mkutano na waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester leo Agosti 17, 2012. Van Persie amesaini mkataba wa miaka minne na Man United. Picha: REUTERS
Mchezaji mpya wa Manchester United, Robin van Persie (kushoto) wa Uholanzi akiwa na kocha Alex Ferguson wakati wa kutambulishwa kwenye mkutano na waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester leo Agosti 17, 2012. Van Persie amesaini mkataba wa miaka minne na Man United. Picha: REUTERS


Mimi ni Shetani Mwekundu sasa... Arsenal mtajiju... ha ha haaaaa! Robin van Magoli akicheka wakati wa kutambulishwa mbele ya waandishi wa habari kuwa amejiunga rasmi na Manchester United kwa mkataba wa miaka minne. Si unaona mabango ya United nyuma... chezea Fergie wewe?
Mchezaji mpya wa Manchester United, Robin van Persie wa Uholanzi akishikilia jezi jirani la nembo ya Manchester United baada kutambulishwa mbele ya waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester leo Agosti 17, 2012. Van Persie amesaini mkataba wa miaka minne na Man United. Picha: REUTERS
Add caption


Mchezaji mpya wa Manchester United, Robin van Persie wa Uholanzi akishikilia jezi jirani la nembo ya Manchester United baada kutambulishwa mbele ya waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester leo Agosti 17, 2012. Van Persie amesaini mkataba wa miaka minne na Man United. Picha: REUTERS
Mchezaji mpya wa Manchester United, Robin van Persie (kushoto) wa Uholanzi akishikilia jezi Na.20 na kocha Alex Ferguson kwenye mkutano na waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester leo Agosti 17, 2012. Van Persie amesaini mkataba wa miaka minne na Man United. Picha: REUTERS
Hii klabu bwana dole tupu.... Mchezaji mpya wa Manchester United, Robin van Persie akionyesha alama ya dole baada ya kutambulishwa kujiunga na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka minne akitokea Arsenal. Picha: REUTERS
Mchezaji mpya wa Manchester United, Robin van Persie (kushoto) wa Uholanzi akisalimia na wachezaji wa timu yake mpya Nani na Fletcher katika mazoezi ya timu hiyo leo.
Kijana wewe jembeee.... sasa msimu huu ukiwashika Arsenane wawe Arse16. Kocha Fergie akimpa maelekezo Robin van Persie wakati wa mazoezi ya Manchester United leo. Picha: http://www.manutd.com














No comments:

Post a Comment